Jumapili, 8 Februari 2015

ANGALIA BEKI HUYU ALIVYOKABA HADI SURA


 Mchezaji Robbie Neilson alijikuta kwenye maumivu makubwa baada ya kulambwa kiatu cha uso kutoka kwa nahodha wa timu ya Livingston, Jason Talbot.
Hiyo ilitokea wakati Livingston ikipambana na Hearts katika Ligi ya Scotland.
 Nicholson alilazimika kupata matibabu na kushonwa nyuzi kadhaa baada ya buti hilo la Talbot.
Walikuwa wanawania mpira wa juu, wakati Neilson akiruka kupiga kichwa, Tailbot alipeleka mguu na kumjeruhi vibaya.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni